Friday 30 May 2014

(AUDIO) Jhene Aiko-Stay Ready

(AUDIO) 50 cent-Flip On You (feat. ScHoolboy Q)

(AUDIO) Ne-Yo feat. Jeezy - Money Can't Buy

(AUDIO) Tyaga-Real Deal

(AUDIO) Rocko feat. Nas - Hustle

(AUDIO) We Are Toonz feat. T-Pain, French Montana & Lil J-Drop That Nae Nae (Remix)

(AUDIO) Joe Feat. 50 Cent-Mary Jane (Remix)

NICKI MINAJ AINGIZA PESA KWA KUONEKANA KWENYE BIRTHDAY PARTY

Nicki Minaj ni moja kati ya mastar ambao wanaweza kuacha kufanya muziki na bado akawa anapiga hela ndefu kupitia sura yake tu. Hili limejidhiirisha hivi karibuni baada ya bondia Floyd Mayweather kumlipa kiasi cha dola 50,000 kwajili ya kuhudhuria tu kwenye birthday party ya mtoto wake wa kike anayefahamika kwa jina la Iyanna. Inasemekana kiasi hicho cha pesa ni sawa na mshara wa mwalimu wa kawaida wa Marekani ambao analipwa kwa mwaka. Birthday party ya mwaka jana ya Iyanna iliudhuriwa na Justin Beiber. Nick kwa sasa ameachia single yake mpya inayokwenda kwa jina la "Pills N Potions," ikiwa ni maandalizi ya album yake itakayokwenda kwa jina la The Pinkprint.

ALBUM YA 50 CENT KUINGIA SOKONI JUNE 3

Baada ya kufanya album nne na kampuni ya interscope mkali 50cent anaachia album yake mpya nje ya kampuni hiyo. 50cent anaachia album hiyo akiwa kama msanii wa kujitegemea, album itakwenda kwa jina la "Animal ambition" ina jumla ya ngoma 11 akiwa amefanya na wasanii mbalimbali kama Yo Gotti,Trey songz,Kid Kid,Styles P,Prodigy. Album inatarajiwa kuwa sokoni kuanzia tarehe 3 June mwaka huu.

Friday 4 April 2014

JAY Z AMFOLLOW JOE BUDDEN TWITTER

Katika hali ya kushangaza kidogo mtu mzima Jay Z ameonekana kumfollow rapper Joe Budden kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter, Jay ambaye si mtumiaji mkubwa sana wa mtandao huo amewashangaza wengi kwani hana tabia ya kufollow wasanii wala watu maarufu kwani hata Beyonce ambaye ni mkewe hajamfollow.Kipindi cha nyuma Jay Z alishawahi kuwa na beef na Joe budden na haijajulikana ni nini kinachoendelea au kipi kitafuata baada ya tukio hilo.

SCARFACE KUACHIA ALBUM ITAKAYOKWENDA KWA JINA LA DEEPLY ROOTED

Legendary Scarface ajipanga kuachia album baada ya kukaa kitambo bila kuajia album, mkali huyu kutokea pande za Houston huko Marekani amesema album itakwenda kwa jina la "Deeply Rooted" pia nje ya album Scarface anatengeneza kitabu chake kinachokwenda kwa jina la Deeply Rooted ambacho kinaandikwa na mwandishi Benjamin Meadows amesema kitabu hicho kitakua kinaongelea maisha yake kwa ujumla,mambo mazuri,mabaya na haraki za game la muziki.

Wednesday 26 March 2014

YG APIGA BAO KWENYE MAUZO YA WEEK YA KWANZA YA ALBUM YAKE YA "MY KRAZY LIFE"

Rapper YG anaetokea pande za west coast pande za US ameendelea kufanya vizuri baada ya kuachia album yake inayokwenda kwa jina la "My Krazy Life" last week na mauzo ya week ya kwanza yametoka na amefanikiwa kuuza copy 59,703 kwa week yake ya kwanza ni moja kati ya rappers wadogo akiwa amezaliwa mwaka 1990 lakini anafanya vizuri tunasubiria tuone je ataweza kuendelea kuuza nakala ngapi kwa album yake hii.

REMY MA AELEZEA MIPANGO YAKE YA KURUDI KWENYE GAME LA MUZIKI

Yule mwanadada ambaye alikua akisukuma game la muziki vilivyo na kusababisha watu wengi kumuita rapper bora wa kike sasa anatarajia kutoka gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miaka 6,Huyu si mwingine bali ni Remy Ma ambaye alikua first lady wa kundi la Terror squad lilokua likiongozwa na Fat Joe, akizungumzia kuhusu kurejea kwenye game Remy alianza kwa kusema kuwa amemaliza beef lake na Fat Joe na kuwa walipata muda wa kuongea kwa simu na kuyaweka sawa, Remy ambaye ni mke wa rapper Papoose amesema amepokea ofa za kufanya reality shows kibao kasema anajipanga kurudi kwenye game na kusema anawakubali rappers wengi mmoja wao akiwa Meek Mill.