Thursday 6 June 2013

(NEWS) WAKAZI WA MOROGORO WAPATA NAFASI YA KUUAGA MWILI WA NGWAIR

   Leo wakazi wa mji wa Morogoro walipata nafasi ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mwanamuziki wa kizazi kipya Albert Mangwea ambae alifariki wiki iliyopita nchini Afrika ya Kusini.
  Shughuli nzima ilifanyikia katika uwanja wa Jamhuri na kisha mwili wa marehemu ukapelekwa nyumbani kwao Kihonda kwa ajili ya mazishi. Mungu aulaze mwili wa marehemu mahala pema peponi

No comments:

Post a Comment