Tuesday 4 June 2013

(NEWS) JAY Z AKARIBIA KUSAINI DILI YA $20M NA KAMPUNI YA SAMSUNG

 
        
     Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu Jay Z anakaribi kusaini dili na kampuni ya simu za mkononi ya Samsung hii ni baada ya kuondoka katika umiliki NBA ambao kazi yake ulikua ni kukuza na kuendeleza faida katika michezo.
Jigga anategemea kusaini mkataba ambao utamuingizia zaidi ya $20m na kampuni hio ya Samsung lengo kubwa likwa kuendelea nakuingia katika aina mpya ya muziki "streaming" ili kukuza mziki. Pia Jay z atatumia nafasi hiyo kwajili ya kuwa sainisha wasanii wengi zaidi.

(AUDIO) Big Sean ft Kanye West & Roscoe Dash-Marvin Gaye & Chardonnay


(AUDIO) Kid Ink - money and the Power


(AUDIO)Nipsey Hussle Feat Sean Kingston-Hustle


(AUDIO)Wale-love hate thing