Friday 14 June 2013

HAWA NDIO WASANII WA TANO WA MUSIC WENYE GARI ZA THAMANI

1:Sean Combs, a.k.a. P Diddy anamiliki gari aina ya Rolls Royce       

2:Shawn Carter, a.k.a. Jay-Z anamiliki gari aina ya Maybach Exelero

3: Andre Young, a.k.a. Dr. Dre anamiliki gari aina ya Hummer H2



4:Bryan Williams, a.k.a. Birdman anamiliki gari aina ya Lamborghini Veneno

5:Curtis Jackson, a.k.a. 50 Cent anamiliki gari aina ya Ferrari

(NEWS) JUNE 18 INASUBIRIWA KWA HAMU NA WADAU WA MUZIKI DUNIANI

         Wapenzi wengi wa muziki wakiwa wanasubiri kwa shauku kubwa album za wanamuziki maarufu Kanye West na J.Cole ambazo zote zitatoka siku moja ambayo ni June 18 kuna mastaa wengine wamekuwa na ya kuongea kuhusiana na shughuli hii nzito inayosubiriwa kuona ni nani atakae ongoza kwa mauzo ya album.
      Mac Miller ameweza kuongea kwa upande wake akisema yeye anaamini kuwa Kanye West ndiye atakae ibuka kidedea kwenye battle hiyo na kusema muziki wa Kanye ni mkubwa na kwamba si wa kupambana na bwana mdogo J Cole. Ikumbukwe kuwa J Cole amekuwa akihairisha utoaji wa album mara kibao aliamua kuirudisha nyuma kutoka tarehe 25 June mpaka 18 June ili kupambana na Kanye West.
    Album ya J.Cole inakwenda kwa jina la Born sinner ambayo inatolewa chini ya Bad Boys Rec na ya Kanye West inakwenda kwa jina la Yeezus  ambayo inatolewa na G.O.O.D Music zote zinategemewa kutoka tarehe 18 June mwaka huu.