Saturday 8 June 2013

(NEWS) MMG WAMUHITAJI MKALI JADAKISS

  Baada ya kufanya collabo na Rick Ross kwenye nyimbo ya "Oil Money Gang" ngoma ambayo itapatikana kwenye album ya Self made Vol 3 kumekuwa na tetesi nyingi kuwa Jadakiss amesaini label na MMG.
  Akizungumzia kuhusu tetesi hizo Jada hakukubali wala kukataa kuwa atasaini na MMG japokua ana mkataba na Def Jam, MMG imeonyesha kutaka kuingia mkataba na wasani watatu ambao ni Jadakiss, Sheek Louch na Styles P.
  Jadakiss kwa sasa anakimbiza na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Big boy dialogue aliyomshirikisha The-Dream.