The-Dream amefunguka na kusema yeye ndio mwandishi wa track mpya ya Kelly Rowland inayokwenda kwa jina la "Dirty Laundry" ambayo ipo katika album mpya ya mwanadada huyo inayoitwa "Talk A Good Game"
The-Dream ambae pia amehusika katika kuwaandikia mashairi mastaa wakubwa wakiwemo Beyonce na Rihanna, alifunguka pia kuhusiana na mahusiano ya Kelly Rowland na Beyonce na kusema kuwa watu hao wawili wametoka mbali na anapendezwa kuona bado wanaheshimiana na kupendana.
The-Dream na Kelly wanajiandaa kwa ajili ya kupiga tour ya pamoja ambayo itahusisha nchi za Ulaya.
Wednesday 5 June 2013
(NEWS) MIGUEL AKUMBWA NA MSALA
Hitmaker wa Adorn anaejulikana kama Miguel ameingia katika matatizo baada ya mhanga wa tukio lililotokea lilotokea katika tuzo za Billboard kusemekana kwamba anauwezekano wa kupata matatizo ya ubongo.
Miguel ambaye ali perfom siku hiyo aliruka kutoka juu ya jukwaa na kuwarukia mashabiki na katika kuruka huko alijikuta akimuangukia vibaya shabiki huyo na kumsababishia matatizo hayo. Inasemekana kuwa Miguel alishaonywa kuhusu swala la kuruka kutoka jukwaani lakini mzuka ulipompanda akajikuta anasahau kama alishakatazwa kuruka
Miguel ambaye ali perfom siku hiyo aliruka kutoka juu ya jukwaa na kuwarukia mashabiki na katika kuruka huko alijikuta akimuangukia vibaya shabiki huyo na kumsababishia matatizo hayo. Inasemekana kuwa Miguel alishaonywa kuhusu swala la kuruka kutoka jukwaani lakini mzuka ulipompanda akajikuta anasahau kama alishakatazwa kuruka
(NEWS) MMG YAANZA KUTENGENEZA SELF MADE VOL 3
Baada ya kuachia project ya mwisho iliyokwenda kwa jina la Self made vol 2 sasa Maybach Music Group waanza kutengeneza project mpya iliyopewa jina la Self made vol 3.
Akizungumzia hilo boss wa MMG Rick Ross alisema lengo ni kufanya kitu cha pamoja ili kuwapatia mashabiki wao ladha ambayo wataifurahi. Rozay alisema wanategemea project hiyo kuingia sokoni August 6th, tayari nyimbo moja ishamalizika na jana imeshaanza kuskika inayokwenda kwa jina la God is Great ya Rockie Fresh. Baadhi ya wasanii waliopo MMG ni Rick Ross, Wale, Meek Mill, Omarion, Rockie Fresh na Gunplay.
Akizungumzia hilo boss wa MMG Rick Ross alisema lengo ni kufanya kitu cha pamoja ili kuwapatia mashabiki wao ladha ambayo wataifurahi. Rozay alisema wanategemea project hiyo kuingia sokoni August 6th, tayari nyimbo moja ishamalizika na jana imeshaanza kuskika inayokwenda kwa jina la God is Great ya Rockie Fresh. Baadhi ya wasanii waliopo MMG ni Rick Ross, Wale, Meek Mill, Omarion, Rockie Fresh na Gunplay.
Subscribe to:
Posts (Atom)