Sunday 9 June 2013

(NEWS) BIG SEAN AELEZEA FURAHA YAKE BAADA YA KUFANYA KAZI NA EMINEM

     Sean Michael Anderson unaweza muita Big Sean asema amefurahi sana kufanya collabo na Eminem pia kupata nafasi ya kuongea nae. Big Sean amesema kabla ya kuingia studio kutengeneza kazi na Eminem walipata nafasi ya kupiga story.
    Big Sean anasema kila story aliyokua akimuhadithia Eminem kuhusiana na hustling za kimziki pamoja na kuperfom sehemu mbalimbali zilikua zinamshangaza Eminem kwani, hata yeye alipitia mishemishe hizo kipindi anatoka kimziki na hivo kujikuta wakiwa na mambo mengi yanayofanana.
   Marapper hawa wote wanatokea mji wa Detroit pande za United States na collabo yao inasubiriwa kwa hamu na wadau wa muziki.

No comments:

Post a Comment