Thursday 6 June 2013

(NEWS) MTU TATU NDANI YA TRACK MOJA JUSTIN TIMBERLAKE, JAY Z NA NAS

   Baada ya kufanya kazi moja matata sana ambayo ilimrudisha upya katika game ya muziki JustinTimberlake ambayo alipigwa tafu na mkali Jay Z sasa wajipanga tena.
   Justin alionekana akiwa na Jay Z pamoja na mkongwe mwingine kwenye game ya Hip Hop Nas Escobar wakiwa wanajiaanda kutengeneza nyimbo mpya ya pamoja na mzigo mzima wa kutengeneza ngoma hiyo utafanywa producer Timbaland.
   Kama haitoshi siku za karibuni alionekana pia akiwa na Pharrell Wlliams wakijiandaa kutengeneza track. Kwa wale wanaoelewa shughuli ya Nas na Jay Z  ambayo ikijumuishwa na Justin watakua wanafahamu nini kitakacho kuja.

No comments:

Post a Comment