Friday 4 April 2014

SCARFACE KUACHIA ALBUM ITAKAYOKWENDA KWA JINA LA DEEPLY ROOTED

Legendary Scarface ajipanga kuachia album baada ya kukaa kitambo bila kuajia album, mkali huyu kutokea pande za Houston huko Marekani amesema album itakwenda kwa jina la "Deeply Rooted" pia nje ya album Scarface anatengeneza kitabu chake kinachokwenda kwa jina la Deeply Rooted ambacho kinaandikwa na mwandishi Benjamin Meadows amesema kitabu hicho kitakua kinaongelea maisha yake kwa ujumla,mambo mazuri,mabaya na haraki za game la muziki.

No comments:

Post a Comment