Rapper YG anaetokea pande za west coast pande za US ameendelea kufanya vizuri baada ya kuachia album yake inayokwenda kwa jina la "My Krazy Life" last week na mauzo ya week ya kwanza yametoka na amefanikiwa kuuza copy 59,703 kwa week yake ya kwanza ni moja kati ya rappers wadogo akiwa amezaliwa mwaka 1990 lakini anafanya vizuri tunasubiria tuone je ataweza kuendelea kuuza nakala ngapi kwa album yake hii.
No comments:
Post a Comment