Friday 4 April 2014

JAY Z AMFOLLOW JOE BUDDEN TWITTER

Katika hali ya kushangaza kidogo mtu mzima Jay Z ameonekana kumfollow rapper Joe Budden kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter, Jay ambaye si mtumiaji mkubwa sana wa mtandao huo amewashangaza wengi kwani hana tabia ya kufollow wasanii wala watu maarufu kwani hata Beyonce ambaye ni mkewe hajamfollow.Kipindi cha nyuma Jay Z alishawahi kuwa na beef na Joe budden na haijajulikana ni nini kinachoendelea au kipi kitafuata baada ya tukio hilo.

No comments:

Post a Comment