Monday 17 June 2013

(NEWS) JAY Z ATANGAZA ALBUM MPYA NA SIKU YA KUTOKA

    Akiwa ameshaingia kwenye dili na kampuni ya Samsung  Jay Z ametaja jina la album na tarehe ambayo album hiyo itatoka.
   Jay Z alifunguka na kusema kuwa album itakwenda kwa jina la "Magna Carta Holy Grail" itakuwa available kuanzia July 4 kwa wateja milioni moja wa Samsung ambao watakua wanatumia application maalumu kwaajili ya kuipata album hiyo na kwa watumiaji wengine itakuwa available baada ya masaa 72 baada ya kuachiwa  July 4 na tayari kampuni ya Samsung imeshanunua nakala zaidi ya milioni za album hiyo ya Jay Z.

No comments:

Post a Comment