Monday 17 June 2013

(NEWS) ALBUM YA KANYE WEST YAVUJA MTANDAONI

      Yakiwa yamebakia masaa kadhaa album ya Kanye West kuachiwa rasmi limeibuka balaa lingine ambalo lime mchanganya Yeezy.
      Habari zinasema kuwa album hiyo inayokwenda kwa jina la Yeezus imevuja siku ya ijumaa na wataalamu wanasema ishu hiyo imemchanganya Kanye ambaye hivi sasa ni baba wa mtoto mmoja. Kampuni ya Kanye imeshaanza kushughulikia wahusika wanao husika na kuvujisha album hiyo na wamesema watawachukulia hatua za kisheria kwani wamevuruga biashara.
    Kumekua na tabia ya uvujishaji wa album za masuper star sana na taarifa zinasema kuwa watu wa karibu na ma-star ndio wamekuwa wakihusika zaidi 

No comments:

Post a Comment