Monday 17 June 2013

(NEWS) DRAKE ATANGAZA KUFANYA TOUR KATIKA MAJIJI 41

     Drake atangaza tour kwa ajili ya maandalizi ya kupush album yake itakayokwenda kwa jina la Nothing was the same.
    Tour hiyo itafanyika maeneo ya Amerika ya kaskazini na atakuwa na wasanii ambao watampiga tafu katika tour hiyo ambao ni Future na Miguel. Tour hiyo itapita kwenye majiji 41 na itaanza September 25

No comments:

Post a Comment