Monday 10 June 2013

(NEWS) UTATA WA MASHAIRI ULIOPO KATIKA NYIMBO YA MILEY WAWACHANGANYA MASHABIKI

   Utata wa mashairi uliopo katika single mpya "We can't stop" ya mwanadada Miley umewafanya mashabiki wake kujiuliza  kuumiza vichwa sana kwani wameshindwa kuelewa msanii huyu ameimba nini.
  Ngoma hiyo ambayo itapatikana katika album mpya ya Miley ambayo inategemewa kutoka mwaka, mashabiki wengi wanashindwa kuelewa kuwa kwenye ngoma hiyo mwanadada ameimba "dancing with Molly" au ni "dancing with Miley".
  Akizungumzia kuhusiana na ishu hiyo producer alietengeneza ngoma hiyo Mike Will Made It amesema kuwa vyovyote shabiki atavyouchukulia mstari huo ni sawa kama mtu ataenjoy kuuskia kama "dancing with Moly" ni sawa na kwa wale wanaompenda Miley wakijiskia kama "dancing with Miley" ni sawa. Producer huyo amesema Miley kwa sasa anafanya kazi kwa nguvu zake zote kwaajili ya kutengeneza album yake mpya.

No comments:

Post a Comment