Thursday 13 June 2013

(NEWS) LANGA AFARIKI DUNIA LEO SAA KUMI JIONI

  Msanii aliyekuwa akiwakilisha vizuri muziki wa BongoFleva kwa upande wa Hip Hop anaefahamika kwa jina la Langa Kileo amefariki leo jioni.
  Akidhibitisha taarifa hizo baba mzazi wa msanii huyu, anasema Langa alikuwa amelazwa katika hospitali ya Muhimbili na alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria.
  Taratibu za msiba zinaendelea nyumbani kwao Mikocheni na mama mzazi wa msanii anatarajiwa kufika nchini kesho akitokea nchini Marekani.
  Mungu ailaze roho ya marehemu Langa mahala pema peponi.

No comments:

Post a Comment